Monday, March 7, 2011

KITENGE AKABIDHIWA TIKETI YA NDEGE NA NSSF

 
Mtangazaji wa Radio one MAULID BARAKA KITENGE akikabidhiwa tiketi ya ndege na mmoja wa wafanyakazi wa NSSF kwa ajili ya kwenda KOREA KUSINI kushiriki mkutano mkuu wa chma cha waandishi za michezo DUNIANI 

KITENGE ambaye ni makamu mwenyekiti wa TASWA ataondoka na katibu msaidizi GOERGE JOHN kushiriki mkutano huo

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU