Sunday, March 6, 2011

MAGEREZA WANAWAKE YAIFUMUA VIJANA 82 KWA 67

                                            Timu ya mpira wa kikapu MAGEREZA
                                                 Timu ya kikapu ya wanawake VIJANA.
                                               
Timu ya wanawake ya mpira wa kikapu ya MAGEREZA imeifunga timu ya VIJANA wanawake vikapu 82 kwa 67 katika mchezo uliofanyika uwanja wa ndani wa Taifa katika mashindano ya ligi ya kikapu ya mkoa wa DSM.

Mchezo huo ulingia kasoro baada ya kukosekana kwa daktari wa kuwatibu wachezaji pindi wanapoumia wakati wa mchezo.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU