Friday, March 11, 2011

SHINDANO LA NYAMA CHOMA KUFANYIKA JUMAPILI LEADERS JIJINI DSM

Mratibu wa shindano la nyama choma INNOCENT SHIRIMA.
Fainali ya shindano la kuchoma nyama imepangwa kufanyika keshokutwa kwenye viwanja vya klabu ya LEADERS  jijini DSM.

Mratibu wa shindano hilo INNOCENT SHIRIMA amesema tayari maandalizi yamekamili na katika shindano ambalo pia lilifanyika mkoani MBEYA 

Baadhi ya Bar zilizotinga fainali ni KISUMU, MEEDA.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU