Tuesday, March 22, 2011

TP MAZEMBE YATENGENEZEWA JENEZA NA MASHABI WA SIMBA

                                            Jamaaa hawa wametengeneza jeneza kwa ajili ya TB MAZEMBE
                                             Bendera za simba zikipepea
Mashabiki wa soka wa SIMBA katika eneo la bandari jijini DSM wamechonga jeneza na kuliandika jina la TP MAZEMBE wakiashiria kuzikwa kwa timu hiyo itakapocheza mchezo wake wa marudiano na mabingwa wa soka nchini  SIMBA katika mchezo wa marundiano wa ligi ya mabingwa Afrika utakaoipigwa wiki mbili zijazo kwenye uwanja wa taifa jijini DSM

Katika mchezo wa kwanza wa ligi ya mabingwa Afrika uliopigwa jumapili iliyopita katika uwanja wa KENYA mjini lumbumbashi SIMBA ililala kwa kufungwa mabao matatu kwa moja hiyo inatakiwa kushinda kwa mabao mawili kwa bila ili ishonge mbele.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU