Baadhi ya Wakuu wa Mikoa wakimsikiliza Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakati alipozungumza kwenye semina yao ya siku mbili kwenye kituo cha mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma Juni 26, 2011. (Picha na Ofisi ya Waziri MKuu)
Baadhi ya Wakuu wa Mikoa wakimsikiliza Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakati alipozungumza kwenye semina yao ya siku mbili kwenye kituo cha mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma Juni 26, 2011. (Picha na Ofisi ya Waziri MKuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika semina ya sikumbili ya Wakuu wa Mikoa, Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakuu wa wilaya kwenye Kituo cha Mikutano cha Saint Gaspar Mjini Dodoma Juni 26, 2011. (Picha na Ofisi ya Wairi Mkuu)





0 maoni:
Post a Comment