Timu ya YANGA imeshindwa kutamba katika uwanja wake wa nyumbani baada ya kutoka sare ya magoli mawili kwa mawili na timu ya EL MEREIKH ys sudan katika mchezo uliofanyika uwanja wa taifa,mchezo ambao ulijaza mashabiki wengi ,huku APR ya RWANDA ikishinda nne dhidi ya port
HAPA NI VIKOSI VYA TIMU HIZO
YOUNG AFRICANS:
19. Yaw BERKO (Gk)
17. Godfrey TAITA
14. Oscar JOSHUA
24. Chacha MARWA
23. Nadir HAROUB (captain)
5. Nurdin BAKARI
18. Julius MROPE
16. Rashid GUMBO
28. Davies MWAPE
10. Jerry TEGETE
7. Kigi MAKASI
RESERVES:
30. Said MOHAMMED
13. Fred MBUNA
29. Juma SEIF
6. Godfrey BONNY
26. Kenneth ASAMOAH
COACH: Sam TIMBE [Uganda]
…….
EL MEREIKH:
01. Isam ELHADARI (Gk)
23. Saeed MUSTAFA (captain)
9. Badr ELDIN
7. Ahmed ALBASHA
18. Nasr ELDIN
12. Musab OMER
8. Kelechi OSUNWA
14. Balla GABIR
5. Wawa PASCAL
17. Karim EDDAFFI
19. Remi ADIKO
RESERVES:
21. Mohammed KAMAL
2. Nagm ELDIN
11. Ragei ABDELATI
10. Stephen WORGU
30. Mohammed MUGADM
4. Jonas SAKUMAHA
COACH: Husam AL BADR





0 maoni:
Post a Comment