AISHA MADINDA aungana na bendi ya EXTRA BONGO
Bendi ya muziki wa dansi ya EXTRA BONGO NEXT LEVEL leo imemtambulisha mnenguaji mpya AISHA MOHAMED MBEGU ambaye ataanza kazi rasmi jumatano wiki hii.
Bendi ya EXTRA BONGO NEXT LEVEL baada ya kumtambulisha AISHA sasa itakuwa imetimiza idadi ya wanenguaji wa kike NANE na wa kiume wa NNE ambao wataongozwa na SUPER NYAMWELA





0 maoni:
Post a Comment