Tuesday, July 12, 2011

KITUO CHA FASDO KIMEZINDULIWA KWA AJILI YA KUKUZA MICHEZO ,BURUDANI NA FILAMU

 Mkuu wa Wilaya wa TEMEKE CHIKU GALAWA akiwa makini kuangalia burudani wakati wa uzinduzi wa kituo cha FASDO na yeye alikuwa mgeni rasmi wakati wa uzinduzi huo
                      Kikundi cha ngoma kikiwa kinapita wakati wa sherehe za uzinduzi wa kituo cha FASDO
                              Baadhi ya wageni kutoka marekani wakiwa bize na picha
                                               Wasanii wakiwa wanaigiza
              Baadhi ya wasanii katika kituo cha FASDO wakiwa na biashara mbalimbli wakati wa uzinduzi wa kituo hicho

                                                 Burudani kama kazi
     Wasanii wa muziki wakitoa burudani wakati wa uzinduzi wa kituo cha kukuza michezo pamoja na sanaa cha FASDO kilichopo TANDIKA

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU