Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akihutubia baada ya kuzindua meli ya Ocean Rig Poseidon kwenye bandari ya Geoje nchini Korea ya Kusini Julai 8, 2011. Meli hiyo mali ya kampuni ya Petrobas ya Brazil inatrajiwa kuwasili nchini miezi michache ijayo ili kufanya utafiti wa mafuta katika Pwani ya Mtwara na Mafia. (Picha na Ofisi ya Waziri MKuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua meli ya Ocean Rig Poseidon baada ya meli hiyo kuzinduliwa na Mama Tunu Pinda kwenye Bandari maarufu kwa ujenzi wa meli kubwa ya Mji wa Geoje nchini Korea Kusini Julai 8, 2011. Meli hiyo mali ya Kampuni ya Petrobas ya Brazil inatarajiwa kufanya utafiti wa mafuta na gesi kwenye pwani ya Mtwara na Mafia miezi michache ijayo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akizindua meli ya Ocean Rig Poseidon kwenye bandari ya Geoje nchini Korea ya Kusini Julai 8, 2011. Meli hiyo mali ya kampuni ya Petrobas ya Brazil inatrajiwa kuwasili nchini miezi michache ijayo ili kufanya utafiti wa mafuta katika Pwani ya Mtwara na Mafia. (Picha na Ofisi ya Waziri MKuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua meli ya Ocean Rig Poseidon baada ya meli hiyo kuzinduliwa na Mama Tunu Pinda kwenye Bandari maarufu kwa ujenzi wa meli kubwa ya Mji wa Geoje nchini Korea Kusini Julai 8, 2011. Meli hiyo mali ya Kampuni ya Petrobas ya Brazil inatarajiwa kufanya utafiti wa mafuta na gesi kwenye pwani ya Mtwara na Mafia miezi michache ijayo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua meli ya Ocean Rig Poseidon baada ya meli hiyo kuzinduliwa na Mama Tunu Pinda kwenye Bandari maarufu kwa ujenzi wa meli kubwa ya Mji wa Geoje nchini Korea Kusini Julai 8, 2011. Meli hiyo mali ya Kampuni ya Petrobas ya Brazil inatarajiwa kufanya utafiti wa mafuta na gesi kwenye pwani ya Mtwara na Mafia miezi michache ijayo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)





0 maoni:
Post a Comment