Nahodha wa Kenya akipandisha bendera ya kenya
Nahodha wa Uganda akipandisha bendera ya KenyaNahodha wa timu ya gofu kutoka Zambia akipandisha bendera ya Zambia
Timu zinazoshiriki mashindano ya gofu ya wanawake ya Afrika mashariki na kati zikiwa katika bendera zao
Timu shiriki nne zikiwa katika picha ya pamoja wakati wa uzinduzi wa mashindano ya gofu ya wanawake katika viwanja vya Lugaro
Mkuu wa majeshi mstaafu GOERGE WAITARA akipiga mpira kufungua mashindano ya gofu ya wanawake ya Afrika mashariki na kati yanayoshirikisha nchi za Kenya ,Uganda,Zambia na wenyeji wa mashindano TANZANIA mashindano hayo yatafungwa Augasti 18 mwaka huu
0 maoni:
Post a Comment