Sunday, September 18, 2011
HIVI NDIVYO SOKO KUU LA MWANJELWA SIDO LINAVYO ONEKANA BAADA YA KUTEKETEA KWA MOTO
Haya ni mabaki ya mabati na vyuma vilivyoteketea kwa motoMoto bado unaendelea kuwaka taratibu huku watoto wakiokota mabaki ya bidhaa mbali mbali zilizoungua na motoVibaka wakitoka na vyuma chakavu katika banda la sido lililoungua kwa motoMabaki ya majiko ya mkaa na vigae vyakeSoko limebakia kiwanja tuu hakuna kilicho salia, pia umati wa watu wakitazama soko baada ya kuungua kwa moto jioni hiJengo la sido mbeya nalo limeteketea kwa moto
0 maoni:
Post a Comment