Wednesday, December 14, 2011

AIRTEL YAPOKEA CHETI

(kushoto) Afisa masoko wa Global Publisher Benjamini Mwanambuu akimkabidhi cheti cha kushiriki na kudhamini Seminar ya Umaskini Fullstop Afisa Uhusiano wa Airtel Jane Matinde,  cheti hicho cha shukurani kimetolewa kwa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel  kwa kudhamini seminar ya umaskini fullstop na burudani ya Muziki iliyofanyika Mkoani Arusha mwishoni mwa mwenzi November na kuudhuriwa  na wakazi wengi wa jijini hapo.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU