Wednesday, December 14, 2011

MKUTANO WA MWAKA WA PSPTB

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Naibu Waziri wa Fedha, , Mheshimiwa Pireira Ame Silima (kushoto) na Mwenyekiti wa Bodi ya The Procurement and Supplies Proffessionals and Technician Board (PSPTB), Bw.  Noel Mrope baada ya kufngua mkutano wa mwaka wa PSPTB kwenye kituo cha kimataifa cah mikutano cha AICC mjini Arusha , December 14,2011
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Makamu, Mwenyekiti wa Bodi ya  The Procurement and Supplies Professionals and Technician Board (PSPTB), Sister Catherene Bandiho(kushoto) baada ya kufungua mkutano wa mwaka wa bodi hiyo kwenye ukumbi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha AICC, Desemba 14, 2011.  Watatu kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya  PSPTB, Noel Mrope
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda , akikagua ujenzi wa  jengo la ofisi za makao makuu ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki, Mjini Arusha Desemba 14, 2011ambalo linatarajiwa kuwa limekamilka ifikapo Februari mwakani.  Kushoto ni Mratibu wa Mradi wa Ujenzi wa Jengo hilo, Phil  Klerruu  na kushoto kwa Waziri Mkuu ni Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya anayeshughulia Fedha na Utawala, Dr. Rotich

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU