Wednesday, October 17, 2012

LIGI KUU YA GRAND MALT YA ZANZIBAR, UWANJA WA AMAAN ZANZIBAR, CHIPUKIZI NA BANDARI.

  Kipa wa Chipukizi, Fumu araza (18) akiruka na mlinzi wake, Seif Hamad kumdhibiti mshambuliaji wa Bandari Sakleh Khamis (kulia) Chipukizi 2 Bandari 0.
 Mlinzi wa Chipukizi, Saleh Khamis (kushoto) akimzuia mshambuliaji wa Bandari, Ismail Seif.
 Mlinzi wa Bandari, Kassim Hariri (kulia) akipambana na mshambuliaji wa Chipukizi, Faki Sharif.
  Mshambuliaji wa Bandari, Ismail Seif (kulia) akijaribu kumtoka mlinzi wa Chipukizi Saleh Khamis jana kwenye uwanja wa Amaan.
Mshambuliaji wa Chipukizi, Faki Sharif (kushoto) na mlinzi wa Bandari, Kassim Hariri wakiwania mpira  kwenye pambano la ligi kuu ya Grand Malt ya Zanzibar jana kwenye uwanja wa Amaan.
Chipukizi ilishinda mabao 2 - 0.

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU