Bondia Baina mazola amemshinda kwa tabu mwaite juma katika pambano
lilokuwa na upinzani mkali kiasi cha kuwafanya majaji kuwa na wakati
mgumu na makini wakati wote.
Baada ya kupoteza pambano hilo
mwaite aliomba marudiano kama kutatokea promota mwaminifu kama
alivyofanya mzazi,"namshukuru promota amenimalizia pesa yangu yote sio
kama alivyotufanyia Kaike mpaka leo hajatulipa tunasumbuana nae kwenye
vyombo vya sheria kwa hela ndogo na uwezo anao.
Katika mapambano ya utangulizi Issa omari alimpiga kwa point James
martin,na kumfanya kupoza machungu aliyoachiwa na Kaike siraju,
nae
Mustafa dot akimpiga raundi ya pili kwa ko mbaya iddi Rashid,huku omar
Ramadhan akishindwa kutamba kwa herman richard,Adam Barnabas akimtesa
mpole mckezie kwa point .kwa ufupi mapambano yalienda vizuri
0 maoni:
Post a Comment