Tuesday, September 24, 2013

AAR YATOA HUDUMA YA AFYA KWA WASHIRIKI WA BSS 2013

https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/u/0/?ui=2&ik=c5efcfe0c1&view=att&th=1414f903784aec4e&attid=0.7&disp=inline&safe=1&zw&saduie=AG9B_P-2CrkZwFZoIv7yIISqZzQc&sadet=1380030949108&sads=p-etqoqJoHJBbPnm_fRCb3IancI
 AAR Healthcare wakiwa na washiriki wa BSS 2013
https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/u/0/?ui=2&ik=c5efcfe0c1&view=att&th=1414f903784aec4e&attid=0.6&disp=inline&safe=1&zw&saduie=AG9B_P-2CrkZwFZoIv7yIISqZzQc&sadet=1380030877221&sads=4rhqT_8gqfeXOa4bIf6bpER0uh0
 Mshiriki wa BSS Elizabeth Mwakijambile akiongea na waandishi wa habari baada ya kupata vipimo vya afya kutoka AAR walipoenda kutembelewa kambini kwao Mbezi
https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/u/0/?ui=2&ik=c5efcfe0c1&view=att&th=1414f903784aec4e&attid=0.5&disp=inline&safe=1&zw&saduie=AG9B_P-2CrkZwFZoIv7yIISqZzQc&sadet=1380030807147&sads=G5V-XsmHkb-kO0c0jmJLsRxN0dE
 Afisa Mahusiano wa AAR HealthCare Amisa Juma akiwapa mafunzo washiriki wa BSS 2013 kuhusu afya zao ,kuchoto ni Bi, Fatma Omary, Maina Thadei na Amina Chibaba
https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/u/0/?ui=2&ik=c5efcfe0c1&view=att&th=1414f903784aec4e&attid=0.1&disp=inline&safe=1&zw&saduie=AG9B_P-2CrkZwFZoIv7yIISqZzQc&sadet=1380030452872&sads=Y97csEj86M_auvC2h-U200oHfGA
Dr. Bamuhimbisa Richard kutoka AAR Healthcare akitoa mafunzo kwa washiriki wa BSS 2013 ya jinsi ya kuishi maisha bora kwa kuwa waangalifu na afya zao,walipokua kwenye kambi yao Mbezi Beach
https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/u/0/?ui=2&ik=c5efcfe0c1&view=att&th=1414f903784aec4e&attid=0.2&disp=inline&safe=1&zw&saduie=AG9B_P-2CrkZwFZoIv7yIISqZzQc&sadet=1380030542758&sads=YLgq4EdWpoZwZD2P-jfO_pAA6dg 
Washiriki wa Bongo Star Search wakipata vipimo vya BMI na BP kabla ya kupanda jukwaani
https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/u/0/?ui=2&ik=c5efcfe0c1&view=att&th=1414f903784aec4e&attid=0.3&disp=inline&safe=1&zw&saduie=AG9B_P-2CrkZwFZoIv7yIISqZzQc&sadet=1380030675991&sads=9ELrsTi_ee9g-wIGMCVZwJIDsHg 
 Muuguzi Salome Mkilima kutoka AAR akimpima BP mshiriki wa BSS 2013 kambini Mbezi Beach Dar-es-salaam
https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/u/0/?ui=2&ik=c5efcfe0c1&view=att&th=1414f903784aec4e&attid=0.4&disp=inline&safe=1&zw&saduie=AG9B_P-2CrkZwFZoIv7yIISqZzQc&sadet=1380030734314&sads=ZL7pFi8tgFTU5NKwjnktoBJp-XA 
Dactari Richard kutoka AAR akitoa kipimo cha BMI kwa mmoja ya washiriki wa BSS 2013 kambini mbezi Dar-es-salaam. 

Hivi karibuni AAR Healthcare imefanya  vipimo vya afya kwa washiriki wa Bongo Star Search  mwaka 2013, vipimo hivyo vikiwamo BMI, BP  pamoja na kipimo cha kisukari 

Washiriki hao ambao kwa sasa wamebaki  15 ,walipewa  pia mafunzo ya kiafya kutoka  kwa  Madactari wa AAR  ya jinsi ya kuishi maisha yao kwa afya njema.

“Dhumuni la kuwafanyia  washiriki vipimo vya  afya, ni wao wenyewe kuweza  kutambua  afya  zao  kabla ya kuanza kupanda  jukwaani, kupata ushauri  wa jinsi ya kutunza afya zao kwa kipindi chote cha mashindano na hata baada ya mashindano” . Alisema Afisa Mahusiano wa AAR Amisa Juma.

Bi. Juma alimalizia kwa kusema “ Sisi kama wadau  wakubwa katika afya nchini, tumegundua  vijana  ndo  waathirika wakubwa wa afya, kwaiyo  tumeamua kutumia jukwaa hili la BSS  kuweza kusaidia na kutoa mchango mkubwa kwa washiriki na jamii kwa ujumla” .

Hii ni mara ya pili kwa AAR kudhamini mashindano haya ya BSS, mara ya kwanza ikiwa ni mwaka 2011.
 

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU