Kulia ni Meneja Airtel Mara Joseph Mushi, akimkabidhi makamu mkuu wa
shule sekondari Kasoma (kushoto) bw, Mtaki Bita msaada wa vitabu
vyenye thamani ya milioni 5 vilivyotolewa na Airtel kwa shule ya
sekondari ya kasoma iliyopo Majita wilayani Musoma mkoani mara ambapo Airtel imetoa msaada wa vitabu vya masomo ya sayansi katika masomo ya kemia, fizikia, baiolojia na hisabati.
sekondari ya kasoma iliyopo Majita wilayani Musoma mkoani mara ambapo Airtel imetoa msaada wa vitabu vya masomo ya sayansi katika masomo ya kemia, fizikia, baiolojia na hisabati.
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imeendelea na kampeni yake ya
kusaidia elimu hapa nchini kupitia mpango wake ujulikanao kama shule
yetu.
Msaada huo umetolewa katika shule ya sekondari ya Kasoma ilipo Majita wilayani Musoma mkoani Mara ambapo Airtel imetoa msaada wa vitabu vya masomo ya sayansi.
Afisa masoko wa Airtel kanda ya Ziwa Bw. Ally Mashauri amesema, msaada huo unakuja ikiwa ni kuitikia wito wa serikali wa kusaidia katika masomo ya sayansi nchini. Afisa Masoko airtel kanda ya ziwa Ally Mashauri alisema “ Airtel inatambua kuwepo kwa uhaba wa vitabu na vifaa vya kufundishia katika shule zetu na katika kutatua changamoto hizo tunaongeza nguvu na kushirikiana na Serikali chini ya wizara ya elimu kuweza kuinua sekta ya elimu.
Nae Joseph Mushi ni Meneja wa Airtel mkoani mara anaelezea umuhimu wa msaada huo huku makamu mkuu wa shule ya kasoma Mtaki Bita akishukuru kwa msaada huo.
“huu ni msaana sana katika kuoneza hari ya waalimu kufundisha masomo ya mchepuo wa sayansi na pia wanafunzi mkoa huu wa Mara kupenda kusomea sayansi kwa kuwa nyenzo za kusomea zimepatikana” alieleza Joseph Mushi meneja airtel Mara
Kwa upande wake Makamu Mkuu wa shule kasoma sekondari Mtaki Bita alisema Ninawashukuru sana Airtel kwa kuchangia elimu katika mkoa wetu, lakini bado ninawapa taarifa Airtel na wadau wengine wote kuwa bado shule yetu inachangamoto nyingi sana ambazo bado zinahitaji msaada wa wadau wa elimu ili tuijenge Tanzania yetu”
Msaada uliotolewa unahusisha masomo ya kemia, fizikia, baiolojia na hisabati. Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imekuwa ikitoa misaada mbalimbali ikiwemo ukarabati wa shule, sare za shule, kompyuta pamoja na kuunganisha baadhi ya shule kwenye mtandao wa internet wa Airtel wa 3.75G ili kurahisisha wanafunzi kujisomea kupitia mtandao.
Msaada huo umetolewa katika shule ya sekondari ya Kasoma ilipo Majita wilayani Musoma mkoani Mara ambapo Airtel imetoa msaada wa vitabu vya masomo ya sayansi.
Afisa masoko wa Airtel kanda ya Ziwa Bw. Ally Mashauri amesema, msaada huo unakuja ikiwa ni kuitikia wito wa serikali wa kusaidia katika masomo ya sayansi nchini. Afisa Masoko airtel kanda ya ziwa Ally Mashauri alisema “ Airtel inatambua kuwepo kwa uhaba wa vitabu na vifaa vya kufundishia katika shule zetu na katika kutatua changamoto hizo tunaongeza nguvu na kushirikiana na Serikali chini ya wizara ya elimu kuweza kuinua sekta ya elimu.
Nae Joseph Mushi ni Meneja wa Airtel mkoani mara anaelezea umuhimu wa msaada huo huku makamu mkuu wa shule ya kasoma Mtaki Bita akishukuru kwa msaada huo.
“huu ni msaana sana katika kuoneza hari ya waalimu kufundisha masomo ya mchepuo wa sayansi na pia wanafunzi mkoa huu wa Mara kupenda kusomea sayansi kwa kuwa nyenzo za kusomea zimepatikana” alieleza Joseph Mushi meneja airtel Mara
Kwa upande wake Makamu Mkuu wa shule kasoma sekondari Mtaki Bita alisema Ninawashukuru sana Airtel kwa kuchangia elimu katika mkoa wetu, lakini bado ninawapa taarifa Airtel na wadau wengine wote kuwa bado shule yetu inachangamoto nyingi sana ambazo bado zinahitaji msaada wa wadau wa elimu ili tuijenge Tanzania yetu”
Msaada uliotolewa unahusisha masomo ya kemia, fizikia, baiolojia na hisabati. Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imekuwa ikitoa misaada mbalimbali ikiwemo ukarabati wa shule, sare za shule, kompyuta pamoja na kuunganisha baadhi ya shule kwenye mtandao wa internet wa Airtel wa 3.75G ili kurahisisha wanafunzi kujisomea kupitia mtandao.
0 maoni:
Post a Comment