Friday, October 25, 2013

MWENYEKITI WA CCM TAIFA RAIS JAKAYA KIKWETE AFUNGA MAFUNZO KWA WATENDAJI NA VIONGOZI WA CCM NGAZI ZA MIKOA NA WILAYA MJINI DODOMA

 Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete wakati akifunga  mafunzo kwa watendaji na viongozi wa CCM ngazi za wilaya na mikoa, usiku wa kuamkia leo Oktoba 25, 2013 katika ukumbi wa mikutano wa CCM wa ‘White House’ mjini Dodoma. Mafunzo hayo yaliyokuwa ya siku nne yalifunguliwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein. Kulia kwake  ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula na kushoto kwake ni Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana. PICHA NA IKULU


0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU