Friday, October 4, 2013

MWANAMUZIKI WA NYIMBO ZA INJILI BONY MWAITEGE AWATAKA VIJANA NA WATANZANIA KUDAI HAKI KWA UTARATIBU

Mwanamuziki  wa  nyimbo  za  injili  na  muhubiri  wa  kimataifa  Bon  Mwaitege  amewataka  Watanzania kujifunza  kudai  haki  kwa  njia ya  amani  bila  kufanya  maandamano na    uharibifu na  kusema  zipo  njia  nyingi  mbadala  za  kusaidia kupata  haki   bila  kuwa kero na  kuleta  hofu  kwa  watu  wengine.
 
Mwaitege  amezungumaza  hayo  katika  mkutano  wa  hadhara  wa  injili  uliofanyika mjini  Mpanda  mkoani  katavi ikiwa  mfululizo  wa  ziara  yake  katika  mikoa  ya  Kigoma,katavi,Rukwa  na  mbeya
 
Akihutubia  mamia  ya  wakazi  wa  mpanda  katika  eneo  la  makanyagio  ambapo  wananchi  walifika  kwa  ajili  ya  kupata  burudani  na   muziki  wa  injili  uku  akitoa  mfano  wa  mwanamke kahama   alieiba  mtoto wa  mwenzake  na   kumbadilishia  mtoto  aliekufa.
Mwaitege  amesema  katika  kudai  haki  kuna  hatua  za  msingi  kabisa na  kusema  wapo  wanaodai  haki  kwa  kutumia nguvu  na  baadae  kuishia  gerezani kutokana  na  nguvu  waliotumia kudai  haki  kuwa  batili

0 maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA KWA SIKU